Adrian Loci - Fanya

Nadai kukachora fiti mi ndio Author hapa, Dayanka Ah
Bingwa hafai kujiprove so hard fanya kitu
Hizi vitu hazifai kuwa Hard da da wanaifanya
Ni kama hufai kuwa na kiti waonyeshe kidole usijipe
Fanya hiyo kitu

Wao hujifanyanya hawafucks na di boy
Ati ngoma zangu si kali, define hiyo ukali
Unadhania ntakaa ningoje approval, wapi
Suck 3 dicks ama door knob sijali
Loci hukuwa asset ka Joe Kadenge akichezea maragoli RIP the Legend
Long as niko kwa hii scene mtanijua na pembe
Juu hii mlango siibishi ntaivunja brethren Uh
Ntakuwet, please beba towel
Egocentric ni mi nikiturnish
Kazi yenye unafanya na mdomo haziambatani
All along hawa maboys hapa nje wanavanish
So kazi usinipee mi nitaduu mimi
Hata hizo shule nilisoma heri life teachings
Atleast a better man is made out of the goon in me
Nikitaka sihesabiki kwa hizo vitu zenyu
Hiyo ni Upuzi

Nadai kukachora fiti mi ndio Author hapa, Dayanka Ah
Bingwa hafai kujiprove so hard fanya kitu
Hizi vitu hazifai kuwa Hard da da wanaifanya
Ni kama hufai kuwa na kiti waonyeshe kidole usijipe
Fanya hiyo kitu

Ulidhani unatubeba isipokuwa we ndo fala
Mi siezi kubali mtu akutaje mbele yangu
Buda unajicheza ukijiona mjanja
Curtain zilipanda bars zikashuka tangu
Nimechonga nimechonga nikafungua kichinjio ka maji mtungini nikatulia
Gills zimemea kupindukia niite papa
Chini ya maji maisha raha
Fanya kenye hufanya ukijaa ngori skuizi toja zimejaa pori
My G Toili tunaomoka si story
Im sorry ego ni ya Atwoli G
Story hailiki pesa motisha
Mi hutupa watu kutoka kwa dirisha uh
Hii maisha nakula kwa kijiko kubwa nikiteuka tu
Ondiko pass hiyo joint.

Nadai kukachora fiti mi ndio Author hapa, Dayanka Ah
Bingwa hafai kujiprove so hard fanya kitu
Hizi vitu hazifai kuwa Hard da da wanaifanya
Ni kama hufai kuwa na kiti waonyeshe kidole usijipe
Fanya hiyo kitu

Written by:
Ombachi Kibeti

Publisher:
Lyrics © O/B/O DistroKid

Lyrics powered by Lyric Find

Adrian Loci

View Profile