DALA KING - HAYA (feat. ADASA)

Hayaa haya,,naondoka nimechoka
Hayaa haya,,maneno yako hayaishi kinywani
Hayaa haya,,wewe me na wewe nimechoka
Hayaa haya

Sema kipi nilicho kosea,au siridhiki na nnacho pewa
Kilema ambacho umenipa nisione tena mdomo ushindwe kuongea
Kile kidogo changu,hali yangu vyote nlikwambia
Usinishushe thamani,mahabani donda nkaugulia

Ooh! Bebi,kama usiku wa jana kukesha kulumbana
Ya nini jamani,eeh
Penzi ni kupendana sio kugombana
Kwa nini jamani,wewee

Hayaa haya,,naondoka nimechoka
Hayaa haya,,maneno yako hayaishi kinywani
Hayaa haya,,wewe me na wewe nimechoka
Hayaa haya

Kweli we unanipenda kikweli,mana lawama hasiishi ni daily
Oohh baba wewe,utanishinda miiee
Kila kukicha vurugu siwezi,mie mbichi utanichubua ngozi
Oohh baba wewe,utanishinda miiee

Mbona,mbona mie mpweke kwenye ndoa yangu
Lawama,lawama ndo mishale kwenye moyo wangu wowowo!
Utaniua bure,me ni mke wa sheihk
Najisitiri,na heshima ya mjini
Nina damu ya mpare,kujitii ni halalii
Najisitirii na heshima ya mjinii

Hayaa haya,,naondoka nimechoka
Hayaa haya,,maneno yako hayaishi kinywani
Hayaa haya,,wewe me na wewe nimechoka
Hayaa haya

Hayaa haya,hayaa haya

Written by:
MATANO MRAMBA

Publisher:
Lyrics © O/B/O DistroKid

Lyrics powered by Lyric Find

DALA KING

View Profile