DALA KING - MIMI NAWEWE

Nilisemwa mambo mengi yakuchafua ubongo
Ili mimi kwako nionekane muongo
Eti nikitoka tunapishana,nyuma marafiki zako ni wavulana
Mara wanasema hatujaendana,mimi nakuona kama dodo

Tena moyoni nishakupenda unajuwa,kichwani hayawani ukinitenda ntajiua
Kwenye mvua kiangazi twapendezana,we ndo pacha tulio fanana
Naamini hatuto tengana hayeee!

Yanitume bana bana kama banana,leo yamezidi hata ya jana
Kwa mapenzi teletele usiku na mchana,sasa kwa nini wanizengue eehh!

Kwanza leo tunatanua tanua tunatanua
Kwanza leo tunatanua tanua tunatanua
Mimi na we,mimi na we
Mimi na we,mimi na we
Mimi na we,mimi na we
Mimi na we,mimi na wewe

Yani wewe ndo changu kivulii,tena wewe ndo wangu mwavuli
Kwenye mvua kali me unanisitiri unanisitiri
Na kama we ndo gari basi me ndo msafiri msafiri

Sasa tujitawanye anha!
Ikibidi tuwachanganye anha!
Mambo shwari yani ndo vyenye anha!
Kila boda sisi tupenye anha!

Kwenye mvua kiangazi twapendezana,we ndo pacha tulio fanana
Naamini hatuto tengana hayeee!

Yanitume bana bana kama banana,leo yamezidi hata ya jana
Kwa mapenzi teletele usiku na mchana,sasa kwa nini wanizengue eehh!

Kwanza leo tunatanua tanua tunatanua
Kwanza leo tunatanua tanua tunatanua
Mimi na we,mimi na we
Mimi na we,mimi na we
Mimi na we,mimi na we
Mimi na we,mimi na wewe

Written by:
MATANO MRAMBA

Publisher:
Lyrics © O/B/O DistroKid

Lyrics powered by Lyric Find

DALA KING

View Profile