Tumaini Gospel Singer's - Hatima
Wewe ni Mungu nguvu yetu
Ushindi wetu fahari yetu
Twakuamini twakuamini
Wewe ni Mungu nguvu yetu
Ushindi wetu fahari yetu
Twakuamini twakuamini
Huwezi kutuacha Bwana
Huwezi kutuacha wewe
Huwezi kutuacha Bwana
Huwezi kutuacha wewe
Ni muda sasa umekwenda huelewi
Hatima ya maisha yako unaona kama haieleweki
Ni muda sasa umekwenda huelewi
Hatima ya maisha yako unaona kama haieleweki
Aliyemwanzilishi wa safari yako
Atakufikisha mpaka mwisho wako
Aliyemwanzilishi wa safari yako
Atakufikisha mpaka mwisho wako
Usiogope mama kwa jaribu lako unalopitia
Usiogope baba kwa jaribu lako unalopitia
Usiogope mama kwa jaribu lako unalopitia
Usiogope baba kwa jaribu lako unalopitia
Mungu wetu ni Mungu wa maagano
Kazikuza ahadi zake kuliko jina lake
Mungu wetu ni Mungu wa maagano
Kazikuza ahadi zake kuliko jina lake
Hawezi kukuacha Bwana
Hawezi kukuacha yeye
Hawezi kukuacha Bwana
Hawezi kukuacha yeye
Hatima yote ya maisha yetu
Ipo kwako twakwamini
Hatima yote ya maisha yetu
Ipo kwako twakwamini
Huwezi kutuacha Bwana
Huwezi kutuacha wewe
Huwezi kutuacha Bwana
Huwezi kutuacha wewe
Mungu yupo awe ngome yako
Awe msaada kwako Daima
Mtazame yeye
Mungu yupo awe ngome yako
Awe msaada kwako Daima
Mtazame yeye
Maana hakuna Jambo asiloliweza
Tena jambo gani lililogumu kwake
Maana hakuna jambo asiloliweza
Tena jambo gani lililogumu kwake
Hatima yote ya maisha yetu
Ipo kwako twakwamini
Hatima yote ya maisha yetu
Ipo kwako twakwamini
Huwezi kutuacha Bwana
Huwezi kutuacha wewe
Huwezi kutuacha Bwana
Huwezi kutuacha wewe
Hatima yote ya maisha yetu
Ipo kwako twakwamini
Hatima yote ya maisha yetu
Ipo kwako twakwamini
Huwezi kutuacha Bwana
Huwezi kutuacha wewe
Huwezi kutuacha Bwana
Huwezi kutuacha wewe
Written by:
Onesmo Mlawa
Publisher:
Lyrics © O/B/O DistroKid
Lyrics powered by Lyric Find