We are Nubia - Usiku Na Mchana
I want you close
Like never before
Please don't take a pose
Don't leave me alone
Moyoni mwangu ni wewe pekee
I wanna call you my amor Bebe
Baby Usiku na mchana
Mbona unanitenga
Ulisema hutaniacha
Bado nakuwaza baby
Bado nakuwaza darling
Sitaki uniacheeee
Baby honey
Sweetie Darling
Kaa na Mimi
Usiku na mchana
Baby honey
Sweetie Darling
Kaa na Mimi
Usiku na mchana
Miezi imepita,sijui ni ngapi
Tangu nikuone baby,Tuongee Baby
My Baby
Nimekosa la kudio nimekosa la kufanya
Lakini Najua
I wanted you close to me
You be the death of me (yeeee)
But if you hold me one more time
I'll be fine ,I'll be fine yeeehhh
Baby honey
Sweetie Darling
Kaa na Mimi
Usiku na mchana
Baby honey
Sweetie Darling
Kaa na Mimi
Usiku na mchana
Written by:
Publisher:
Lyrics © TUNECORE INC
Lyrics powered by Lyric Find