We are Nubia - Usiku Na Mchana

I want you close
Like never before
Please don't take a pose
Don't leave me alone
Moyoni mwangu ni wewe pekee
I wanna call you my amor Bebe
Baby Usiku na mchana

Mbona unanitenga
Ulisema hutaniacha
Bado nakuwaza baby
Bado nakuwaza darling
Sitaki uniacheeee

Baby honey
Sweetie Darling
Kaa na Mimi
Usiku na mchana
Baby honey
Sweetie Darling
Kaa na Mimi
Usiku na mchana

Miezi imepita,sijui ni ngapi
Tangu nikuone baby,Tuongee Baby
My Baby
Nimekosa la kudio nimekosa la kufanya

Lakini Najua
I wanted you close to me
You be the death of me (yeeee)
But if you hold me one more time
I'll be fine ,I'll be fine yeeehhh

Baby honey
Sweetie Darling
Kaa na Mimi
Usiku na mchana
Baby honey
Sweetie Darling
Kaa na Mimi
Usiku na mchana

Written by:

Publisher:
Lyrics © TUNECORE INC

Lyrics powered by Lyric Find

We are Nubia

View Profile