Bahati - Machozi

Ooh Bahati Bahati tena
Maachozi machozi ii, machozi mamaye
Machozi skiza papaye

Vidonda vichungu na fikra ona
Vile niliumia
Machozi machungu nakuta mbona
Hakuna vile ningeficha
Vidonda vichungu na fikra ona
Vile niliumia
Machozi machungu nakuta mbona
Hakuna vile ningeficha

Maisha yangu ya usali,
Kasoro mali
Wapi wangu waniokoe,
Napoteza mzazi uchungu wa mwana,
Mbona mola uniondoe
Maisha yangu ya usali,
Kasoro mali
Wapi wangu waniokoe,
Napoteza mzazi uchungu wa mwana,
Mbona mola uniondoe


Nilikosa hata moyo kuchonga moyoni,
Niliumia sana
Maskini kusema hawachoki kuchonga
Nililia msee iaa
Nilijawa machozi,
Mbona mimi
Maswali kwa mola,
Mbona mimi
Nilijawa machozi,
Mbona mimi
Mbona dunia uchungu
Mbona mimi
nilijawa machozi
mbona mimi
maswali kwa mola
mbona mimi
nilijawa machozi
mbona mimi
mbona dinia uchungu
Oooi oooi oooi oooi
Oooi oooi oooi oooi

Mziki nafanya napata gharama,
Kuwa inakera
Bidii nikaweka nikaangua pa tupu,
Niliota kupenya
Mziki ilifanya sana napata gharama,
Kuwa inakera
Bidii nikaweka nikaangua pa tupu,
Niliota kupenya
Ilikuwa uchungu madungu zangu,
Nilijawa naumia aai
Ilikuwa machozi sina hata pozi,
Ila tumbo inalia aai
Ilikuwa uchungu madungu zangu,
Nilijawa naumia aai
Ilikuwa machozi sina hata pozi,
Ila tumbo inalia aai

Nilijawa machozi,
Mbona mimi
Maswali kuwa mola,
Mbona mimi
Nilijawa machozi,
Mbona mimi
Mbona dunia uchungu,
Mbona mimi
niljawa machozi
mbona mimi
maswali kwa mola
mbona mimi
nilijawa mchozi
mbona mimi
mbona dinia uchungu
Oooi oooi oooi oooi
Oooi oooi oooi oooi

Naye ukaniweka chini,
Niende wapi mwenzio
Niliangaika kwenda mjini,
Mashambani hivo hivo
Naye ukaniweka chini,
Niende wapi mwenzio
Niliangaika kwenda mjini,
Mashambani hivo hivo
Ukawamu kunionyesha mapenzi,
Hapo siku ya kwanza
Maulana kwangu ukakuwa mpenzi,
Ndio wewe ukaniacha
Ukawamu kunionyesha mapenzi,
Hapo siku ya kwanza
Maulana kwangu ukakuwa mpenzi,
Ndio wewe ukaniacha
Nilikosa hata moyoni,
Niliumia sana
Maskini kusema hawachoki kuchonga,
Nililia msela

Nilijawa machozi,
Mbona mimi
Maswali kwa mola,
Mbona mimi
Nilijawa machozi,
Mbona mimi
Mbona dunia uchunga,
Mbona mimi
Nlijawa Machozi
Mbona mimi
Maswali kwa Mola
Mbona mimi
Nilijawa machozi,
Mbona mimi
Mbona dunia uchunga,
Mbona mimi
Mbona mimi
Si amini ni mimi leo
Mbona mimi
Maulana hayali
Mbona mimi
Si amini ni mimi
Mbona mimi
Rabuka hafungi sikio
Si amini ni mimi
Mbona mimi
Rabuka hafungi sikio
halali
machozi

Written by:

Publisher:
Lyrics © TuneCore Inc.

Lyrics powered by Lyric Find

Bahati

Bahati

View Profile