Heavenly Melodies Africa - Mchungaji Wangu

Upendo wako wanijaza na furaha
Neno lako ndilo nguzo na silaha
Yesu wewe watosha
Yesu Mchungaji wangu
Sitapungukiwa na kitu
Kando ya maji matulivu huniongoza

Pokea dhabihu yangu
Na wimbo wa moyo wangu
Maisha nakutolea
Niongoze unavyo penda Eh Bwana

Wewe ndiwe tumaini la uzima
Ahadi zote ni za milele
Yesu Wewe watosha
Yesu Mchungaji wangu
Waburudisha nafsi yangu
Kikombe changu kimejazwa vizuli

Pokea dhabihu yangu
Na wimbo wa moyo wangu
Maisha nakutolea
Niongoze unavyo penda Eh Bwana

Nitaimba sifa zako bwana
Nitaimba tenzi za rohoni
Umetenda mambo makuu
Wewe ndiwe njia na uzima

Pokea dhabihu yangu

Written by:
Fabrice Nzeyimana

Publisher:
Lyrics © O/B/O DistroKid

Lyrics powered by Lyric Find

Heavenly Melodies Africa

View Profile