Tunda Man - Sawa

Swali linakosa jibu
Chuo cha mapenzi gani umepitia
Raha unanipa za hajabu zimenizidi kimo nnachotumia
Wakwanza mola baada ya wazazi unafatia wewe
Mtoto mashallah andaa banda kuku wako mwenyewe (Aha)
Zenji kuna bahari ila sipandi boat napewa mgongo
Na mwali usinipe jicho we utabaki chongo(aha)
Kaa mbali na manyakunyaku mapenzi ya uwongo
Tafakari kwangu we ndio ini mkalia nyongo
Ahaaaa nishakupa mtima,napepea safina penzi halina kinaa
Aha nishachora na jina,kwako kauli sina,kama kondoo wa hitima


Nipe nikupe (haya we)
Nigande ka kupe (haya we)
Wanoko waumbuke (haya we)
Aha ehe
Aha ehe

Na ningekujuaga zamani tangu enzi zangu mi za utoto japo haiwezekani mwali wewe
Yani nimeokota dodo mchangani,
We kajoli mimi sharukhan,
Nampenda mpenda nani kama si wewe ehe
Wanasema umeniloga (sawa sawaa)
Na ni vingi vya kunoga (sawa sawaa)
Sawa sawa tule ugari bila mboga
Ata ulale bila kuoga (sawa sawaa)
Zenji kuna bahari ila sipandi boat napewa mgongo
Na mwali usinipe jicho we utabaki Chongo (aha)
Kaa mbali na manyakunyaku mapenzi ya uwongo
Tafakari kwangu we ndio ini mkalia nyongo
Ahaaaa nishakupa mtima,napepea safina penzi halina kinaa
Aha nishachora na jina,kwako kauli sina,kama kondoo wa hitima

Nipe nikupe (haya we)
Nigande ka kupe (haya we)
Wanoko waumbuke (haya we)
Aha ehe
Aha ehe
Aha ehe
Aha ehe

Written by:
KHALIDI TUNDA

Publisher:
Lyrics © Songtrust Ave

Lyrics powered by Lyric Find

Tunda Man

View Profile