Harmonize and Tunda Man - Badman

Mimi sio mwanaume wa panga

Wala sio mwana ume wa shoka

Ila nina roho mbaya mpaka wachawi wanaogopa

Kwangu mke bora anapatikana kimboka

Nishawahi fanya balaa mpaka shetani anaogopa

Nishauwa sana panya bila kutumia sumu

Nishatumiaga beseni kubebea majukumu

Mwenzenu kumpiga bosi kwangu sio kazi ngumu

Mtoto wa miaka miwili nambutisha ndumu

Yani naogopwa kama kelele za mwizi

Ukipanga kuniloga jua unaloga chizi

Kwenye bwawa la mamba mi napiga

Mbizi na nikifa siachi pengo naacha fizi


Oya mi mtu mbad

Wanangu mi mtu mbaya

Oya mi mtu mbad

Wanangu mi mtu mbaya


Ataukienda kwa mganga

Kutambika jina langi atakujibu nishazikwa

We soma matanga mi niibuke na wanangu tunakula kitakachopikwa

Njia nilizopita hazinaga mfano

Mwenzako nimeshapita hadi tundu la Sindano

Lengo kutimiza ndoto na sio mashindano

Ndio maana nauwasha moto, na sina mfano

Sina tatizo na walio panga kunikomoa

Nawasalimu mliosema sitatoboa

Mtaani ngoma zinahit mpaka zinaboa

Tena Siimbi sana na smoke na kukohoa (Khokho)

Mimi ni kioo nitazame ujione

Ukiweza ninachofanya ebu fanya tuone

Aiza ufe upone sina zihaka hata tone

Naukijifanya unanijua mi sitaki unione

Sifa za tembo sikuzote uwaga mpole

Ingawa nasiri nzito za aristote lokole

Yani ukimuuzi sana atakupa kidole

Iki cha kati uko kwa mtogole


Oya mi mtu mbad

Yani wahuni nisha oza nishachanganyikiwa

Wanangu mi mtu mbaya

Ukijitusu kunichokoza utachanga mkiwa

Oya mi mtu mbad (eyi ehe eyi ehe ehe eeee)

Wanangu mi mtu mbaya (eyi ehe eyi ehe eeee eee)


Mwenzenu kuku wa kafala si tupi nakula mpaka vibudu

(Oya mi mtu mbad)

Simuogopi mwanadamu mwenzangu kwa MUNGU ndio nasujudu

(Wanangu mi mtu mbaya)

Demu unaemuona nyota ukilala unamuota

Wauni tushapiga uwa galagaza

Siku umemuokota

Kakuona unasota unampiga na picha na unamsambaza

Written by:
KHALIDI TUNDA

Publisher:
Lyrics © Sentric Music, Songtrust Ave

Lyrics powered by Lyric Find

Harmonize and Tunda Man

View Profile
2022 2022