Daddy Cham - Kariakoo

Karia karia karia
KARIAKOO
Karia karia karia karia! karia karia
KARIAKOO
Karia karia karia
KARIAKOO
Karia karia karia karia! karia karia
KARIAKOO
Be humble huku watu hawakurupuki
Allikuja kununua suti chaajabu kauziwa chupi
(Kariakoo)
Hii ni laki O.G bei haishuki kanunua simu kufika nyumbani kufungua kumbe biskuti
(Kariakoo)
Kariakoo ni ndo chama la masela (Kariakoo)
Mpera mpera macho kwenye hela (Kariakoo)
Hewani inapepea kwa bendera (Kariakoo)
Imeppeleka wengi huko jera (Kariakoo)
Karia karia karia
KARIAKOO
Karia karia karia karia! karia karia
KARIAKOO
Karia karia karia
KARIAKOO
Karia karia karia karia! karia karia
KARIAKOO
Maajabu Nimeona mpaka nkashtuka mizigo ya kubebwa na
Lori huku inasukumwa kwenye gutakariakoo
Mungu wangu hivi sasa ndio nasanuka sina simu
Wala sina wallet na kibaka muda kasharuka
Kariakoo mishe mishe tunafight na misoto
Jichanganye kichwa kichwa uziwee tuh midosho
Dream chasers hatuchoki huku kukimbiza ndoto
Simba -Yanga derby letu huku linawasha moto
KARIAKOO
Kariakoo ni ndo chama la masela (Kariakoo)
Mpera mpera macho kwenye hela (Kariakoo)
Hewani inapepea kwa bendera (Kariakoo)
Imeppeleka wengi huko jera (Kariakoo)
Karia karia karia
KARIAKOO
Karia karia karia karia! karia karia
KARIAKOO
Karia karia karia
KARIAKOO
Karia karia karia karia! karia karia
KARIAKOO

Written by:
Emmanuel Chamzim, Khatib Magayuka

Publisher:
Lyrics © O/B/O DistroKid

Lyrics powered by Lyric Find

Daddy Cham

View Profile