Wanavokali - Rhumba

My love I want you
My love I need you
Every time I see you
(In a di club)
Every time I see you
(You light up)

Naomba nafasi mi nicheze na we
Njoo karibu, usinicheki tu kwa mbali
Hatujuani, but tonight you could be my bae
Songa nami, hii form imekubali

Hata kama ni mara ya kwanza sisi kuonana
Usiogope nipe macho yako
Ana kwa ana

Hata kama ni mara ya kwanza sisi kuonana
Usiogope nipe macho yako
Ana kwa ana

Ngoma zalia na mi nataka kucheza
Kucha kutwa, nishazoea kesha
Sakata rhumba
Achilia pressure
Tutacheza hata kama hatuna pesa

Ngoma zalia na mi nataka kucheza
Kucha kutwa, nishazoea kesha
Sakata rhumba
Achilia pressure
Hatujui kama tutaonana tena

Napenda unavyong'aa kama taa
Hapa we ndio star
You've got me feeling things that I can't explain
Tu vitu, Ma vitu
I think I'm falling for you just a little

Hata kama ni mara ya kwanza sisi kuonana
Usiogope nipe macho yako
Ana kwa ana

Hata kama ni mara ya kwanza sisi kuonana
Usiogope nipe macho yako
Ana kwa ana

Ngoma zalia na mi nataka kucheza
Kucha kutwa, nishazoea kesha
Sakata rhumba
Achilia pressure
Tutacheza hata kama hatuna pesa

Ngoma zalia na mi nataka kucheza
Kucha kutwa, nishazoea kesha
Sakata rhumba
Achilia pressure
Hatujui kama tutaonana tena

Vunja mifupa kaza mshipi na tuzikwende
Tukizunguka, kaende, kaende
Teremka, kata kiuno jionyeshe
Inuka, Inuka

Ngoma zalia na mi nataka kucheza
Kucha kutwa, nishazoea kesha
Sakata rhumba
Achilia pressure
Tutacheza hata kama hatuna pesa

Ngoma zalia na mi nataka kucheza
Kucha kutwa, nishazoea kesha
Sakata rhumba
Achilia pressure
Hatujui kama tutaonana tena

Written by:
Faith Langat, Lena Odhiambo, Mbari Gathariki, Mellina Misoi, Samuel Warui, Waithera Chege

Publisher:
Lyrics © O/B/O DistroKid

Lyrics powered by Lyric Find

Wanavokali

Wanavokali

View Profile